i .Tuma maombi ya barua ya kujiunga na Chama kwa Mwenyekiti IJAWOSA ama jaza fomu ya kujiunga;
ii.Kulipa kiingilio shilingi elfu kumi tu (10,000/=);
iii.Barua kwa muajiri kwajili ya michango ya Akiba ya kila mwezi.
MWANACHAMA KAMILI WA IJAWOSA